11.08.2009
HABARI YA KUSIKITISHA SANA....MAISHA CLUB IMEUNGUA MOTO NA MALI ZOTE ZILIZOKUWEMO NDANI ZIMETEKETEA KABISA,
11.06.2009
11.05.2009
WANAHITAJIKA WAPIGA VYOMBO KWA AJILI YA BAND MPYA YA MUZIKI WA KIZAZI KIPYA INAANZISHWA
Wanatakiwa wapiga vyombo wenye vipaji kwaajili ya shughuli za kupiga nyimbo studioKuwapigia wasanii mbali mbali live instruments wakati wanarekodi nyimbo zao
Pia kwa ajili ya Band mpya inayo anzishwa ya muzikiwa kizazi kipya
Kwa maelezo zaidi niandikie e mail au nipigie simu.
Nafasi zilizopo ni mpiga guitar la SOLO NA RYTHM NA Mpiga DRUMS
MSANII MPYA KATIKA MUZIKI WA KIZAZI KIPYA

“Wapenzi Wa Muziki kaeni Mkao Wa Kule, MSHALE msanii mpya anakuja kuwashika na Single yake Makini iiitwayo NIWE NAWE, Karibuni. Pini Hili Limerekodiwa Pale Fish Crab ,chini ya Producer Mahiri, LAMAR. Ndani Ya Single Hii Mshale Amemshirikisha Rapper Maarufu katika Tasnia ya Muziki wa Bongo Fleva, ambaye Jina Lake Limehifadhiwa Kwanza Mpaka Single hii Itakapoenda Redioni mapema wiki ijayo. Karibu MSHALE ndani ya Jukwaa la Bongo Fleva!”
FYI!:
Inatoka redioni Jumatano ijayo, 11th Nov, 2009.
FYI!:
Inatoka redioni Jumatano ijayo, 11th Nov, 2009.
SWEET EAZY IJUMAA HII...
Don't miss this new KIPINDI on the SWEET EAZY channel.Every first FRIDAY of the month. Starting this week.All your favourite TUNES, all your favourite FRIENDS and plenty of DRAMA.
11.04.2009
11.03.2009
COUPLE OF THE WEEK
ndio wamechukua shavu wiki hii,
Bibie kama anataka kufanana na Rihanna hivi kwa mbaaali
ESTHER ULAYA NA MATUKIO YA HUKO ALIKO MICHEZONI...ASANTE KWA PICHA NA KILA KHERI
11.02.2009
TEMBELEA BLOG MPYA YA SPONSOR WETU SAM DIGITAL

WAUZAJI WANAOTAMBULIKA WA:
1. SIMU AINA ZOTE
2. SIMU ZA KICHINA ZINAZOCHUKUA MPAKA LINE NNE KWA MPIGO.
3. VIFAA HALISI VYA SIMU ZOTE KAMA CHARGERS, BATTRIES, HOUSINGS, MEMORYCARDS.
4. HABARI NJEMA KWA MAFUNDI SIMU KWANI WANAUZA SPEA ZA SIMU AINA ZOTE ZENYE GUARANTEE KWA JUMLA NA REJAREJA, KAMA LCD NA BELTS.
5. LAPTOP/MINI LAPTOPS, NA VIFAA VYOTE VYA COMPUTER KAMA OPTICAL MOUSES/KEYBORDS/FLASHDISK.
6. DIGITAL CAMERAS AINA MBALI MBALI ZENYE KUTUMIA MEMORY CARDS NA MIN DIV.
· JE? BLACKBERY YAKO IMECHUNIKA NA KUPOTEZA MVUTO? AU UMEPOTEZA CHAJA YA BLACKBERY YAKO? BETRI YAKO SIO NZURI?
AU UNAHITAJI KIPOCHI CHA KUHIFADHIA BLACKBERY YAKO?
SASA WAMELETA MALI MPYA!!!!! VIFAA HALISI VYA BLACKBERY. NJOO TUKUPATIE
· HOUSINGS ZA BLACKBERY ZOTE , 9000 BOLD AU 9500 STORM PAMOJA NA KUBADILISHA HAPOHAPO.
· CHARGERS ZA BLACKBERY ZOTE.
· BATTRIES ZA BLACKBERY ZOTE.
· EARPHONES ZA BLACKBERY ZOTE.
· VIPOCHI VYA NGOZI VYA BLACKBERY ZOTE.
TUNAPATIKANA
MOROGORO ROAD - MAGOMENI MAPIPA - NYUMA YA KITUO CHA MABASI YAENDAYO KARIAKOO
WASILIANA NASI KWA
CELL: 0776 555555.
TEMBELEA TOVUTI YETU http://www.samdigitaltz.blogspot.com/
UJIONEE BIDHAA MPYA ZIPATIKANAZO DUKANI KWETU KWA KIPINDI HIKI NA HABARI MBALIMBALI JUU YA ULIMWENGU WA SIMU ZA MIKONONI.
ZAWADI KUTOKA HOME SHOPING CENTER...TEMBELEA UPATE VITU VYA NYUMBANI, IPENDE NYUMBA YAKO
Nimepewa vitu vingi sana vingine sikuweza kupiga picha ila nikifika home, nitapiga picha ndani before na after ndani patakavyo kuwa pimped na Home shoping center.
Kuanzia Mashuka, Carpets, Towels N.K.. Vuteni subira
Ila vya kusimuliwa havinogi, bora muende mkajinunulie tu na nyinyi
11.01.2009
YALIOJIRI JUMAPILI
Subscribe to:
Posts (Atom)




