THIS BLOG IS SPONSORED BY

THIS BLOG IS SPONSORED BY

11.08.2009

HABARI YA KUSIKITISHA SANA....MAISHA CLUB IMEUNGUA MOTO NA MALI ZOTE ZILIZOKUWEMO NDANI ZIMETEKETEA KABISA,


Magari ya zima moto yapo eneo la tukio kujaribu kuzima dakika za mwisho
Sasa sijui wanazima nini wakati kila kitu kimeshateketea


Inasemekana moto ulianza tangu mida ya mchana saa nane, na chanzo cha moto hakijajulikana na kama kawaida yetu sijui kama kitakuja kujulikana, ila tusubirie tu tusikie pindi tutakapopata tarifa zaidi

11.06.2009

DESIGN ZA MIKATE KUTOKA KWA IMA ( THE DESIGNER)




11.05.2009

WANAHITAJIKA WAPIGA VYOMBO KWA AJILI YA BAND MPYA YA MUZIKI WA KIZAZI KIPYA INAANZISHWA

Wanatakiwa wapiga vyombo wenye vipaji kwaajili ya shughuli za kupiga nyimbo studio
Kuwapigia wasanii mbali mbali live instruments wakati wanarekodi nyimbo zao
Pia kwa ajili ya Band mpya inayo anzishwa ya muzikiwa kizazi kipya
Kwa maelezo zaidi niandikie e mail au nipigie simu.
Nafasi zilizopo ni mpiga guitar la SOLO NA RYTHM NA Mpiga DRUMS

MSANII MPYA KATIKA MUZIKI WA KIZAZI KIPYA


“Wapenzi Wa Muziki kaeni Mkao Wa Kule, MSHALE msanii mpya anakuja kuwashika na Single yake Makini iiitwayo NIWE NAWE, Karibuni. Pini Hili Limerekodiwa Pale Fish Crab ,chini ya Producer Mahiri, LAMAR. Ndani Ya Single Hii Mshale Amemshirikisha Rapper Maarufu katika Tasnia ya Muziki wa Bongo Fleva, ambaye Jina Lake Limehifadhiwa Kwanza Mpaka Single hii Itakapoenda Redioni mapema wiki ijayo. Karibu MSHALE ndani ya Jukwaa la Bongo Fleva!”

FYI!:
Inatoka redioni Jumatano ijayo, 11th Nov, 2009.

SWEET EAZY IJUMAA HII...

Don't miss this new KIPINDI on the SWEET EAZY channel.Every first FRIDAY of the month. Starting this week.All your favourite TUNES, all your favourite FRIENDS and plenty of DRAMA.

11.04.2009

REST IN PEACE ALEX KUSSAGA


11.03.2009

COUPLE OF THE WEEK

Kinjekitile Ngombale Mwiru na Wifey wake Anita,
ndio wamechukua shavu wiki hii,
Bibie kama anataka kufanana na Rihanna hivi kwa mbaaali

ESTHER ULAYA NA MATUKIO YA HUKO ALIKO MICHEZONI...ASANTE KWA PICHA NA KILA KHERI

Maandamano siku ya Ufunguzi wa Michezo ya Wizara, mikoa na Idara mbalimbali ya Tanzania ijulikanayo kama SHIMIWI,kwenye picha ni Wizara ya Ardhi Morogoro uwanja wa Jamuhuri.

Mh. Kapuya akifungua rasmi mashindano hayo siku ya kwanza, walicheza Uhamiaji na Kilimo, hapo anakagua timu ya uhamiaji ya Netball kabla ya kuanza mpambano katika uwanja wa Jamuhuri morogoro


Wizara ya Ardhi imekuwa bora kwenye haya mashindano kwa uwezo mkubwa wa kushangilia, hiyo ni kwaya pia ikijiandaa kuimba, hapo mbele ni Ester Ulaya.

Ester Ulaya akishangilia wakati timu ya Ardhi ikichuana na RAS Pwani kwenye uwanja wa saba saba Morogoro

Wachezaji wa mpira wa miguu Wizara ya Ardhi wakipumzika baada ya mpambano mkali baina yao na Mahakama

JUDITHI CHIKAKA, mwanariadha bora aliyeipatia ushindi timu ya ardhi baada ya kushinda medali 3 za dhahabu mita 100,200 na 800

11.02.2009

TEMBELEA BLOG MPYA YA SPONSOR WETU SAM DIGITAL



WAUZAJI WANAOTAMBULIKA WA:
1. SIMU AINA ZOTE
2. SIMU ZA KICHINA ZINAZOCHUKUA MPAKA LINE NNE KWA MPIGO.
3. VIFAA HALISI VYA SIMU ZOTE KAMA CHARGERS, BATTRIES, HOUSINGS, MEMORYCARDS.
4. HABARI NJEMA KWA MAFUNDI SIMU KWANI WANAUZA SPEA ZA SIMU AINA ZOTE ZENYE GUARANTEE KWA JUMLA NA REJAREJA, KAMA LCD NA BELTS.
5. LAPTOP/MINI LAPTOPS, NA VIFAA VYOTE VYA COMPUTER KAMA OPTICAL MOUSES/KEYBORDS/FLASHDISK.
6. DIGITAL CAMERAS AINA MBALI MBALI ZENYE KUTUMIA MEMORY CARDS NA MIN DIV.

· JE? BLACKBERY YAKO IMECHUNIKA NA KUPOTEZA MVUTO? AU UMEPOTEZA CHAJA YA BLACKBERY YAKO? BETRI YAKO SIO NZURI?
AU UNAHITAJI KIPOCHI CHA KUHIFADHIA BLACKBERY YAKO?
SASA WAMELETA MALI MPYA!!!!! VIFAA HALISI VYA BLACKBERY. NJOO TUKUPATIE
· HOUSINGS ZA BLACKBERY ZOTE , 9000 BOLD AU 9500 STORM PAMOJA NA KUBADILISHA HAPOHAPO.
· CHARGERS ZA BLACKBERY ZOTE.
· BATTRIES ZA BLACKBERY ZOTE.
· EARPHONES ZA BLACKBERY ZOTE.
· VIPOCHI VYA NGOZI VYA BLACKBERY ZOTE.
TUNAPATIKANA
MOROGORO ROAD - MAGOMENI MAPIPA - NYUMA YA KITUO CHA MABASI YAENDAYO KARIAKOO
WASILIANA NASI KWA
CELL: 0776 555555.

TEMBELEA TOVUTI YETU
http://www.samdigitaltz.blogspot.com/
UJIONEE BIDHAA MPYA ZIPATIKANAZO DUKANI KWETU KWA KIPINDI HIKI NA HABARI MBALIMBALI JUU YA ULIMWENGU WA SIMU ZA MIKONONI
.

ZAWADI KUTOKA HOME SHOPING CENTER...TEMBELEA UPATE VITU VYA NYUMBANI, IPENDE NYUMBA YAKO

Duka hili la Home shopping center liko mtaa wa Livingstone Kariakoo, pia wana maduka sehemu zingine kama Mlimani City


Niliona sio vibaya nibadilishe rangi ya vitu vya ndani, red imenitosha nimechukua hayo ya nyuma kama green na yellow hivi, nikishayapanga nyumbani nitapiga picha niwaonyeshe jinsi yalivyotokea

Kuna mashuka pia Home Shopping center, yani ni kila kitu unachohitaji kwaajili ya nyumbani utapata hapo.

Mataulo

Rangi za kupoa labda nitapata hisia za kutunga melody zaidi



Hizo ni badhi tu ya zawadi nilizopewa na HOME SHOPPING CENTER kutoka duka lao lililopo Kariakoo, Mtaa wa Living Stone
Nimepewa vitu vingi sana vingine sikuweza kupiga picha ila nikifika home, nitapiga picha ndani before na after ndani patakavyo kuwa pimped na Home shoping center.
Kuanzia Mashuka, Carpets, Towels N.K.. Vuteni subira
Ila vya kusimuliwa havinogi, bora muende mkajinunulie tu na nyinyi

11.01.2009

YALIOJIRI JUMAPILI

Nilipata ajali ndogo muda mfupi kabla ya sanya sanya, nilikuwa naelekea hospital kupata sindano ili niwahi kurudi kazini, ndipo yaliponikuta haya. Ila niligongwa sikugonga

Mbali na ajali nilifanikiwa kukutana na mtoa maoni maarufu wa blog hii, PM.. Bado kumuona Sab na JO

Nilipendezwa na muonekano wa vazi la flower hili

AFRICAN NIGHT