Tuesday, May 8, 2012

BLOG NYINGINE HIYO TUPIENI MACHO

Hello Judy!!! Naitwa Daisy Bomba mimi ni mmoja kati ya wafuatiliaji wa Blog yako “http://ladyjaydee.blogspot.com/” .  Napenda kukujulisha kuwa nina blog yangu   inaitwa “Home decoration and cleaning”.
Blog hii inaonyesha na inazungumzia  jinsi ya kutengeneza nyumba yako ili iwe na muonekano wa  kisasa zaidi,pia  natoa ushauri wa jinsi  yakutengeneze nyumba na jinsi ya kupangilia rangi  ya vitu vyako vya ndani.
Naamaini watu wengi wangependa kufahamu jinsi  ya kupamba nyumba zao, jinsi ya kuzisafisha na kuboresha .Hivyo naomba uwafahamishe wapenzi wa blog yako kuwa kuna hii blog ili waweze kupata design na ideas  tofauti tofauti za jinsi ya kutengeneza nyumba zao kupitia blog yangu.
Nimependa kutumia blog yako kwa sababu inapendwa na watu wengi na wewe ni mtaalamu wa muda mrefu.
 Natumaini utanipa ushirikiano 

Nakutakia kazi njema.

6 comments:

Mama C. said...

Wow nimecheck hiyo blog jamani ni nzuri wadada/wamama mnaopenda mambo ya nyumba hebu chungulieni humo..... Yaani me nadhani Nina ugonjwa wa kupamba nyumba huwa namalizia vijisenti vyangu vyote kuhangaika kubadilisha badilisha muonekano wa bathrooms zangu jikoni na sebuleni. Mama mkwe alinifundishaga ukitaka kujua mwanamke msafi Angalia chooni na jikoni ktk nyumba yake! She was very smart Chagga lady. Apumzike kwa Amani.

Anonymous said...

mbona copy and paste zaidi. hebu tuonyeshe na kazi ulizokwisha fanya, yaani before and after, siyo hayo macopy and paste.

lyna wa ukweee said...

hiyo blog ni tamu,Anoyms uliyesema amecopy na kupaste ukiingia kwenye iyo blog chek zile za pembeni utaona kitu kimeandikwa HOMEZ DECO ingia uko ndo utaona kz zao yn ni nzuri wanajitaidi.

Anonymous said...

Thanks mama C your like me kwa kweli.

Thanks mdau wa pili nimekuelewa nitafanya hivyo.

Daisy

Anonymous said...

I think dada kasema ideas na sio kazi zake so people we need to understand mimi nimefungua na kuelewa what she doing to us.
Watanzania amkosagi la kusema kiwe kibaya au kizuri.
Daisy keep it up good job.

Anonymous said...

Big up daisy! Kwakuangalia hizo copy n paste ndio tunajifunza jinsi ya kupamba nyumba zetu.